
Vikao vya maamuzi ya CCM vimeanza Dodoma. Huku wanachama na wapenzi wa CCM Macho na masikio yao yakiwa yametegeshwa dodoma kusubiri ni nani atakayeteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika uchaguzi mkuu wa mwaka huu.
Kwa miaka yote ambayo CCM imeshirki chaguzi kama hizi huko nyuma, Ni mwaka huu pekee ambapo CCM imekuwa katika wakati mgumu.