
Jeshi la NIGERIA limesema kuwa idadi ya wasichana na wanawake waliookolewa kutoka kwa wanamgambo wa Kiislam wa BOKO HARAM cha nchini humo imefikia zaidi ya Mia Tatu.
Kwa mujibu wa jeshi hilo, Wasichana na wanawake hao wameokolewa baada ya vikosi vya jeshi hilo kushambulia na kuteketeza ngome iliyokuwa imesalia ya Wanamgambo hao katika msitu wa SAMBISA.
Hata hivyo wasichana na wanawake waliookolewa sio wale waliootekwa nyara mara baada ya Wanamgambo wa Kiislam wa BOKO HARAM kuvamia shule moja ya wasichana iliyoko katika jimbo la CHIBOK.
Kwa mujibu wa jeshi hilo, Wasichana na wanawake hao wameokolewa baada ya vikosi vya jeshi hilo kushambulia na kuteketeza ngome iliyokuwa imesalia ya Wanamgambo hao katika msitu wa SAMBISA.
Hata hivyo wasichana na wanawake waliookolewa sio wale waliootekwa nyara mara baada ya Wanamgambo wa Kiislam wa BOKO HARAM kuvamia shule moja ya wasichana iliyoko katika jimbo la CHIBOK.
No comments:
Post a Comment